Search

674 results for Florah Temba :

  1. Mvua yasababisha mafuriko Moshi, Mto Rau wajaa maji

    Aprili 25, kuliripotiwa vifo vya watu saba wakiwamo wanne wa familia moja kufuatia mvua kubwa iliyonyesha usiku na kusababisha mafuriko Wilaya ya Moshi

  2. Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Muungano kuzikwa Jumatano

    Hassaniel Mrema (80), mmoja wa vijana walioshiriki tukio la kuchanganya udongo siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, 1964, anatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 8, 2024 nyumbani kwake...

  3. Chadema waanza maandamano Kilimanjaro

    Maandamano hayo yameanzia njia za Mailisita, Mbwaruki Getifonga, wote watakutana mjini Moshi na kuelekea Viwanja vya Mashujaa kutakapofanyika mkutano wa hadhara

    New Content Item (1)
  4. ACT Wazalendo wasisitiza kushushwa gharama za maisha

    Kiongozi huyo amesema kuwa uingiaji wa mikataba ya madini, gesi, mafuta na uwekezaji mwingine nao unaifukarisha nchi.

  5. ACT Wazalendo chapigia chapuo waongoza watalii

    “Wageni wanasindikizwa na hawa waongoza watalii wanahitaji wapate huduma nzuri hivyo kama hawatazingatiwa na kuboreshewa mazingira yao ya kufanyia kazi, ina maana wanaweza wasitoe huduma nzuri...

  6. PRIME Simulizi za kusisimua za waathirika wa mafuriko Moshi

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali ya mkoa inaendelea kufanya tathmini ya madhara yaliyotokana na mafuriko hayo

  7. Vifo vilivyosababishwa na mafuriko Moshi vyafikia saba

    Watu watano wamefariki dunia wakiwemo Watoto watatu wa familia moja, huku kadhaa wakijeruhiwa, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Moshi, Mkoani...

  8. Auawa kwa kukatwa shingo na mpangaji mwenzake

    Chanzo cha tukio hilo kimedaiwa kuwa ni ugomvi wa simu.

  9. Takukuru kuchunguza mradi Bweni la shule uliogharimu Sh298 milioni

    Amesema katika miradi hiyo, mradi mmoja wa ujenzi wa bweni la Shule ya Machame umeanza kufanyiwa uchunguzi baada ya fedha zilizotolewa Sh260 milioni kumalizika na kuongezwa nyingine, Sh38...

  10. PRIME Namna makachero walivyomdaka mwizi wa bastola

    Mwaipopo alikamatwa na maofisa wa polisi katika Kituo cha Basi cha Bomang’ombe, Wilaya ya Hai, Januari 25 2018

Page 1 of 68

Next